Site Loader

Via vya uzazi

Wanawake – kuzoea mazingira huongeza madini ya chuma kwenye chembehai nyekundu za damu.Ukiwa umetoka enzini pata ushauri wa daktari kuhusu namna ya kuongeza madini ya chuma kama sehemu ya maandalizi ya safari.

Usafiripo kwenda enzini kunakuwa wa usumbufu mkubwa na utupaji taka za enzini ni kazi.Siku zako zinamudika, pengine kwa mabadiliko ya dawa za kupanga uzazi.Hili huhitaji mpango maalum.

Kunaweza kuwepo hatari ya kuonekana matone ya damu yaliyoganda kwenye miguu utumiapo dawa mseto za kupanga uzazi kwenye nyanda za juu.

Kiuhalisia hatari hii ni ya kiwango cha chini kwa mwanamke mwenye afya njema, anayejishughulisha, na asiyevuta sigara, isipokuwa juu ya m.4500 kwa zaidi ya wiki.Wanawake wengi hutumia vidonge kwa ajili ya kutawala namna yao ya kuingia kwenye siku zao.

’Progesterone’ ni salama kwa uwanda wowote na hupatikana kwa matumizi ya kiwango kidogo tu.Kwenye sindano,upandikizaji kwenye mishipa,au ndani ya mfumo wa mfuko wa uzazi(Mirena) huweza pia kuzuia kwenda enzini.

Kizuizi mgusano ya mbegu za dume za mwanaume na mayai ya mwanamke kwa mfano kondomu hazitoi uhakika wa kujiepusha dhidi ya ugonjwa huu

Mzio aghalabu hufanya kazi vuzuri.Kondomu zitupwe vizuri baada ya matumizi kwani huchukua miaka mingi sana kuoza.

Viungo vya mtoto huundwa kwa miezi mitatu ya kwanza tangu mimba kutungwa kwenye mji wa mimba.Ni vema kuepuka kwenda kwenye nyanda za juu katika kipindi hiki.

Maandalizi:
• Amua aina ya njia za upangaji uzazi wa mpango na njia y kujisitiri dhidi ya siku zako miezi sita kabla ya safari.

Baada ya kukwea na kufika salama kilele cha mlima Kilimanjaro (M.5895), mtalii alisheherekea kwa kutalii katika miambao ya upwa wa Afrika mashariki na hifadhi za wanyama za ukanda huo.La kusikitisha alirejea nyumbani akiwa ameathirika kwa UKIMWI.

Previous         Next